Tuesday, December 19, 2017

19 December 2017,Mahakama yaamuru hiki juu ya aliyekuwa mwenyekiti wa UVCCM mkoani Dodoma

Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imetoa dhamana kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM na Mbunge wa Donge, Zanzibar Sadifa Juma Khamis anayetuhumiwa kwa kesi ya rushwa.

Sadifa Juma Khamis alikamatwa nyumbani kwake Dodoma December 9, 2017 kwa tuhuma za Rushwa akidaiwa kuwapa wajumbe kutoka Kagera vinywaji na pia kuahidi kuwalipia nauli ili wamchague Mwenyekiti mpya aliyekuwa akimpigia kampeni.

No comments: