Monday, November 20, 2017

20 November 2017,Waislam kutoka jamii ya Rohingya nchini Myanmar wazidi kukumbwa na madhila

Wabunge nchini Marekani katika mkutano wao na Jeff Merkley wasema kuwa madhila yanayowakumbwa waislamu kutoka jamii ya Rohingya nchini Myanmar ni uhalifu wa kivita.

Taarifa hiyo ilitolewa na msemaji wa waziri mkuu wa Bangladesh Ihsan Karim.

Tume ya wabunhe wa Marekanş imefahamisha Jumapili kuwa Myanmar imetenda uhalifu wa kivita dhidi ya jamii ya Rohingya.

Seneta Jeff Merkley na wiziri mkuu wa Bangladesh  katika mkutano wao mjini Dhaka walitoa taarifa kuwa madhila yanayowakabila Rohingya ni uhalifu wa kivita.

Kabla ya kuonana na waziri mkuu wa Bangladesh , tume ya wabunge hao kutoka Marekani ilitembelea kambi ya wakimbizi wa jamii ya Rohingya Balushali katika mpaka wa Cox Bazar.

No comments: