Watu sita wamepoteza mainsha katika mgodi wa fedha magharibi mwa Colombia.
Kulingana na ripoti za mitaa, mgodi ulio karibu na Mto Mungarra katika wilaya ya Choco umefurikwa kutokana na mvua kubwa ilionyesha.
Shughuli za uokozi zimeanshwa na mamlaka za wilaya hiyo, na inasemekana miwili ya watu 6 imepatikana pakiwemo wanawake 4.
Wachimbaji wa mgodi huwo hufanya kazi bila kibali, na haijulikani ni watu wangapi waliokuwa katika mgodi huo wakati wa tukio hilo.
No comments:
Post a Comment