Wakazi wa Thailand wameshirikiana kumuokoa tembo aliyenasa katika maji yaliyosababishwa na mafuriko Kaskazini mwa nchi hiyo.
Tembo huyo alishindwa kutoka katika maji hayo kwa muda wa siku mbili.
Daktari wa wanyama alimpatia tembo huyo chanjo ya kunusuru maisha yake baada ya kuokolewa.
No comments:
Post a Comment