Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni mkoani Singida imewafukuza kazi Watumishi watatu wa halmashauri hiyo wakiwemo Wawili wa idara ya afya ambao wanatuhumiwa kufanya uzembe na kusabisha kifo cha mama mjazito aliyekuwa anasubiri kujifungua kwa njia ya upasuaji.
Baraza hilo limefikia uamuzi huo baada ya uchunguzi kubaini kuwa watumishi hao walikiuka kanuni za utumishi na aadili ya kazi zao.
Admit Tbc
No comments:
Post a Comment