Friday, August 25, 2017

25 August 2017, Tundu Lissu aachiwa huru

Mbunge wa Singida mashariki na mwanasheria mkuu wa chama cha Demokrasia na maendeleo, (CHADEMA) TUNDU LISSU ameachiwa kuwa huru kwa dhamana

Kwa mujibu wa Mwananchi  wakili wake PETER KIBATALA amesema ameachiliwa kwa dhamana na atatakiwa kurejea tena  ijumatatu

Baada yakutoka ndani ya kituo cha  polisi Lissu hakutakiwa kuzungumza  kutokana na masharti ya dhamana, nakumlazimu kuelekea kwenye gari la wakili wake

"Lissu anatuhumiwa kwa  uchochezi na kumkashfu Rais", alisema Kibatala

No comments: