Thursday, August 10, 2017

10 August 2017, Marekani kuunda jimbo la PKK Syria

Marekani imeahidi kuunda jimbo chini ya uongozi wa PYD katika kanda ya kaskazini mwa Syria .

Taarifa hiyo imetolewa baada ya mkutano wa viongozi wakuu wa Pentagon pamoja naa viongozi kadhaa wa kundi la kigaidi la PKK maeneo ya Raqqa .

Jimbo hilo litaundwa naadni ya muda waa miezi 6.

Ajenda kuu ya mkutano huo ilikuwa kuhusu uundaji waa jibo hilo katika kanda hiyo ya nchi ya Syria .

Marekani imeahidi kuunda jimbo hilo litakalotambulika kimataifa .

No comments: