Sunday, July 30, 2017

30 july 2017, Mkutano wa dharura wa muungano wa kiislam kwa ajili yaAl Aqsa


Uturuki yaitisha mkutano wa dharura wa muungano wa kiislamu kwa ajili y'a Al Aqsa

Mkutano huo umetokea wito n'a Uturuki ili kujadili matukio katika mskiti wa al aqsa ambao umekumbwa n'a matukio tofauti Siku zilizopita.

Mkataba huo unatarajiwa kufanyika ifikapo Agosti mosi jijini Istanbul.

Taarifa zlizotolewa n'a ofisi ya wWaziri wa mambo ya nje wa UturukiA Mevlüt Çavuşoğlu zilifahamisha Kuwa Uturuki kama mwenyekiti wa mpito wa muungano huo imeomba mkutano huo wa dharura ili kuzungumzia halı inavyonukia Jerusalem

No comments: