Uturuki yaitisha mkutano wa dharura wa muungano wa kiislamu kwa ajili y'a Al Aqsa
Mkutano huo umetokea wito n'a Uturuki ili kujadili matukio katika mskiti wa al aqsa ambao umekumbwa n'a matukio tofauti Siku zilizopita.
Mkataba huo unatarajiwa kufanyika ifikapo Agosti mosi jijini Istanbul.
Taarifa zlizotolewa n'a ofisi ya wWaziri wa mambo ya nje wa UturukiA Mevlüt Çavuşoğlu zilifahamisha Kuwa Uturuki kama mwenyekiti wa mpito wa muungano huo imeomba mkutano huo wa dharura ili kuzungumzia halı inavyonukia Jerusalem
No comments:
Post a Comment