Waziri wa nishati na mali ya asili wa Uturuki asema kuwa Uturuki inataraji kuzindua mitambo mitatu ya nyuklia ifikapo mwaka
Waziri wa nishati na mali ya asili wa Uturuki asema kuwa Uturuki inataraji kuzindua mitambo mitatu ya nyuklia ifikapo mwaka 2030
Waziri wa mali ya asili na nishati wa Uturuki Berat Albayrak amesema kuwa Uturuki inataraji kuzindua na kutumia mitambo yake yake mitatu ya uzalishaji wa nguvu za nyuklia hadi ifikapo mwaka 2030.
Waziri Berat Albayrak katika miezi mitatu ya mwisho ya mwaka 2017 Uturuki itajipatia mashua yake binafsi itakayoshuhulika na uchimbaji mafuta na gesi asilia.
Hayo waziri wa nishati na mali ya asili wa Uturki aliyafahamisha akiwa katika mkutano Ijumaa uliaondaliwa mjini Istanbul kuhusu nishati na madini.
No comments:
Post a Comment