Wabunge nchini Marekani wamepiga kura na kupinga kuondolewa kwa mpango wa Obamacare
Baraza la seneti limepiga kura na kupinga wazo la Donald Trump kuondoa mpango wa Obamacare ulioanzishwa na rais wa zamani Barack Obama .
Wanachama wa Republican bungeni walipata pigo lingine baada ya wafuasi 7 wa chama chao kuungana na Democrats na kupiga kura kupinga kuondolewa kwa Obamacaare.
Matokeo ya kuraa ya maoni yalikuwa 45 kwa 55 .
No comments:
Post a Comment