Watu 27 wameuwa wiki iliopita na wanamgambo wa Boko Haram katika mashambulizi tofauti.
Wanamgambo wa kundi hilo walichoma moto majumba ya rais katika mkoa wa Borno, mkoa ambao unapatikana Kaskazini mwa Nigeria.
Rais wa Nigeria ameahidi kupambana na kundi la Boko Haram alipotoka nchini Uingereza ambapo alikuwa akipewa matibabu.
Kundi hilo limeanz akushambulia Nigeria mwanzoni mwa mwaka 2000 na kuzidisha mashambulizi yake baada ya kuuawa kwa kiongozi wake Muhammed Yusuf mwaka 2009
No comments:
Post a Comment