Sunday, April 8, 2018

8 APRIL 2018 ,MOURINHO AMKAMIA NEYMAR

Kocha wa Manchester United Jose Mourinho anataka kubadilisha mchezaji wa safu ya kati Paul Pogba, mwenye umri wa miaka 25, na mshambuliaji Anthony Martial 22 - wote wachezaji wa kimataifa wa Ufaransa kwa ajili ya kumpata mshambuliaji Neymar Mbrazil mwenye umri wa miaka 26 anayechezea Paris St-Germain . (Daily Star Sunday)

No comments: