Monday, February 12, 2018

12 February 2018,BEKA FLAVOUR-Aweka wazi kulipwa million tano kwa Show moja

Msaanii wa muziki wa kizazi kipya Bakari Batuti almaarufu Beka Flavour aweka wazi kiwango cha fedha anacholipwa kwa show moja.

Ameyaeleza haya  hii leo  kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorusha na Earadio " mtu anatulipa milioni tano kuna muda ukitaja kuna mapromota wanafika mpaka milioni kumi kwahio inauma",.

Aidha Beka ameeleza kuhusu maudhui ya wimbo wake mpya wa Kibenten nakusema unazungumzia wakina mama wanaoingia katika mahusiano na vijana wadogo ambapo maranyingi  huwatumikisha .

video ya wimbo wake wakibenten  unapatikana YouTube katika channel take. BekaFlavour.

No comments: